Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Michezo Greenwood aondolewa kikosini England Euro
Michezo

Greenwood aondolewa kikosini England Euro

Spread the love

 

KLABU ya Manchester United imethibitisha kuondolewa kikosini kwa kinda wake Mason Greenwood mara baada ya kupata majeraha katika kuelekea fainali ya michuano ya Euro itakayoanza juni 2021. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Kinda huyo alijumishwa kwenye kikosi cha wachezaji 33 wa awali ambao waliitwa na kocha mkuu wa timu hiyo Gareth Southgate kwa ajili ya kujiandaa na michuano hiyo.

Taarifa iliyotolewa na Manchester United ilieleza kuwa kinda huyo mwenye miaka 19, atasalia kwa ajili ya matibabu Zaidi kujiandaa na msimu ujao wa Ligi.

Southgate kocha wa timu ya Taifa ya England

Aidha klabu hiyo iliendelea kusema kuwa majeruhi aliyoyapata mchezaji huyo ndio yaliyomuweka nje kwenye kikosi cha England kilichoshiriki michuano ya Euro kwa vijana chini ya umri wa miaka 21.

Pia kwa upande mwengine Southgate atataweka wazi majina 26 ya wachezaji wa timu ya Taifa ya England watakaokwenda kwenye michuano hiyo baadae hii leo.

Mchezaji huyo alikuwa tegemeo ndani ya klabu yake kwenye msimu ulioisha mara baada ya kucheza michezo 31 na kufunga mabao saba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!