Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko 40 Magufuli, Pengo ampa zawadi Mama Janeth
Habari MchanganyikoTangulizi

40 Magufuli, Pengo ampa zawadi Mama Janeth

Spread the love

 

JOHN Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, leo Jumanne, tarehe 27 Aprili 2021, amefikisha siku 40, tangu alipofariki dunia 17 Machi 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Hayati Magufuli, alifikwa na mauti saa 12 jioni ya siku hiyo, katika Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam na mwili wake, kuzikwa nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

Leo Jumanne, Mama Janeth Magufuli, Mjane wa Hayati Magufuli, akiwa ameongozana na Mary Majaliwa, Mkwe wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, wameshiriki Misa Takatifu ya kumwombea Hayati Magufuli, katika Kanisa la St Peters lililopo Osterbay.

Kanisa hilo, ndilo alikuwa akipenda kusali Hayati Magufuli, enzi za uhai wake tangu akiwa waziri n ahata Rais.

Pia, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, amemtembea nyumbani, Janeth Magufuli na kumkabidhi zawadi ya sananu ndogo ya Bikira Maria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!