Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge waenda bungeni kwa bodaboda
Habari za Siasa

Wabunge waenda bungeni kwa bodaboda

Job Ndugai Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
Spread the love

IMEBAINIKA kwamba, baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamekuwa wakienda kwenye vikao vya bunge kwa kutumia usafiri wa bodaboda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Job Ndugai, Spika wa Bunge ametoa taarifa hiyo bungeni leo tarehe 16 Aprili 2021, huku akisema, hana tatizo na usafifi huo lakini ni hatari.

“Ni usafiri mzuri na sina shida nao, ila nawaomba kuwa makini,” amesema Spika Ndugai huku akiwakumbusha wabunge hao kwamba, wanapatikana kwa gaharma.

Amewataka wabunge wanaotumia usafiri huo kuwa makini akisisitiza “kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa, nadhani mmenisoma.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!