Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge waenda bungeni kwa bodaboda
Habari za Siasa

Wabunge waenda bungeni kwa bodaboda

Job Ndugai Spika wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
Spread the love

IMEBAINIKA kwamba, baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamekuwa wakienda kwenye vikao vya bunge kwa kutumia usafiri wa bodaboda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Job Ndugai, Spika wa Bunge ametoa taarifa hiyo bungeni leo tarehe 16 Aprili 2021, huku akisema, hana tatizo na usafifi huo lakini ni hatari.

“Ni usafiri mzuri na sina shida nao, ila nawaomba kuwa makini,” amesema Spika Ndugai huku akiwakumbusha wabunge hao kwamba, wanapatikana kwa gaharma.

Amewataka wabunge wanaotumia usafiri huo kuwa makini akisisitiza “kupatikana kwenu ni kwa gharama kubwa, nadhani mmenisoma.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!