Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Hoseah anavyojipanga kuongoza TLS, atoa ushauri Takukuru, DPP
Habari za SiasaTangulizi

Dk. Hoseah anavyojipanga kuongoza TLS, atoa ushauri Takukuru, DPP

Dk. Edward Hoseah, mgombea Urais TLS
Spread the love

 

TAREHE 15 Aprili 2021, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu wa viongozi mbalimbali ikiwemo urais, watakaoongoza chama hicho kwa mwaka mmoja. Anaripoti Matrida Peter…(endelea).

Wanachama watano wamejitosa kuwania nafasi hiyo ya urais ambao ni; Albert Msando, Francis Stolla, Flaviana Charles, Shehzada Walli na Dk. Edward Hoseah.

MwanaHALISI TV limefanya mahojiano maalum na Dk. Hoseah, aliyewahi kuhudumu nafasi mbalimbali ndani ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuanzia mwaka 1995 hadi 2015, ikiwemo ya mkurugenzi mkuu.

Katika mahojiano hayo, Dk. Hoseah amezungumzia masuala mbalimbali, kama vile kilichomsukuma kuwania nafasi hiyo, anachotaka kukifanya TLS, anavyojitofautisha na wagombea wenzake.

Dk. Hoseah, anavyotizama suala la haki, uadilifu na utu, nini Takukuru wanapaswa kukifanya ili kuwa na kesi zenye mashiko na ushahidi wenye tija bila kuwaweka watuhumiwa mahabusu kwa muda mrefu, ushauri wake kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).

Anazungumzia jinsi misimamo yake hususan kusimamia kanuni, unavyowashinda baadgi ya watu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!