Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”
Habari za Siasa

Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”

Spread the love

 

WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali nchini, wameendelea kutoa salamu za pole na kuuelezea maisha ya kiongozi huyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

MwanaHALISI TV imezungumza na mwenyekiti wa chama cha NCCR- Mageuzi na mbunge wa zamani wa Vunjo, James Fancis Mbatia.

Katika mazungumzo hayo, Mbatia amegusia mahusiano yake binafsi, kikazi na Dk. Magufuli aliyefariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021, Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam.

Miongoni mwa aliyogusia Mbatia ni kufahamiana na Dk. Magufuli kwa nusu ya umri wake wa miaka 61, tangu wakiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Fuatilia mahojiano hayo:-

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!