Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Safari ya mwisho ya Hayati Magufuli Chato
Habari MchanganyikoTangulizi

Safari ya mwisho ya Hayati Magufuli Chato

Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli
Spread the love

 

MWILI wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli unazikwa leo Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, katika makaburi ya nyumbani kwao, Chato mkoani Geita.

Viongozi mbalimbali wamehudhulia katika shughuli hiyo ya mwisho ya Hayati Magufuli inaanzisa Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Magufuli, wakiongozwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Dk. Magufuli, alifariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021, katika Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam, kwa ugonjwa wa mfumo wa umeme wa moyo.

Baadhi ya viongozi waliopo uwanjani hapo kunakofanyika misa takatifu kukifuatiwa na salamu mbalimbali ni; Marais wastaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Ali Hassan Mwinyi.

Wengine ni, Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othuman Masoud Othuman na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

error: Content is protected !!