Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Maaskofu 15, Mapadri 70 wamzika Magufuli
Habari Mchanganyiko

Maaskofu 15, Mapadri 70 wamzika Magufuli

Spread the love

 

MAASKOFU 15 na mapadri zaidi ya 70 wa Kanisa Katoliki, wanashiriki misa takatifu ya kumwombea Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Anaripoti Regina Mkonde, Chato …(endelea)

Misa takatifu inafanyika Uwanja wa Mpira wa Magufuli, Chato mkoani Geita leo Ijumaa, tarehe 26 Machi 2021.

Misa hiyo inaongozwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanania (TEC), Gervas Nyaisonga.

Baada ya kumazilika kwa misa hiyo, kutafutia salamu za viongozi mbalimbali akiwemo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kisha safari ya kwenda makaburi ya familia itaanza ili kuuzika mwili huo.

Misa ya maziko, itaongozwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi.

Dk. Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, alifariki dunia Jumatano tarehe 17 Machi 2021, katika Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!