Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli anazindua Daraja la Juu la Kijazi
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli anazindua Daraja la Juu la Kijazi

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, leo Jumatano tarehe 24 Februari 2021, amezindua Daraja la Juu la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ambalo limepewa jina la ‘Daraja la Kijazi.”

Jina hilo jipya la Kijazi ni kukumbuka mchango wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Mhandisi John Kijazi, aliyefariki dunia tarehe 17 Februari 2021, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!