Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Simulizi ya Dada Bajaji “Wanaume wananisumbua”
Habari Mchanganyiko

Simulizi ya Dada Bajaji “Wanaume wananisumbua”

Waendesha pikipiki (Bodaboda) wakiwa maeneo ya mjini katika shughuli zao za kawaida
Spread the love

KUTANA na Happy Mushi maarufu ‘Dada Bajaji’ akisimulia safari fupi ya maisha yake.

Happy anayefanya shughuli zake katika eneo la Goba jijini Dar es Salaam kwa takriban mwaka mmoja sasa, lakini kabla ya kufanya kazi hiyo zipo kazi mbalimbali alizowahi kizifanya.

Je? Kipi kimemsukuma kuwa dereva wa bajaj? Ndoto zake ni zipo? Anawezaje kupanga muda wake kuhudumia familia kama mama wa watoto wawili.

Kufahamu haya yote tazama video hapo chini kupitia mahojiano aliyofanya na  MwanaHalisi TV.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

Spread the loveZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB

Spread the loveSerikali imetenga kiasi cha Sh 18.5 bilioni kwa ajili ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

error: Content is protected !!