Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Undertaker atandika daluga
Michezo

Undertaker atandika daluga

Undertaker
Spread the love

BAADA ya miaka 30 ya ubabe na purukushani katika uwanja wa mielekeka, Mark Calaway maarufu kwa jina la Undertaker ameamua kustaafu mchezo huo. Inaripoti BBC … (endelea).

“Kwa miaka 30 nimekuwa nikiingia ndani ya ulingo huu taratibu na kuwaangusha watu mara kwa mara,” Undertaker amesema muda mfupi baada ya kumaliza pambano lake usiku wa Jumapili tarehe 22 Novemba 2020 dhidi ya Survivor Series.

Akihutubia mashabiki wa mieleka wa WWE, Undertaker amesema ‘wakati wa kujiuzulu umefika,” na kuongeza “muda wangu umefika wa kumuacha My time Undertaker apumzike… kwa … amani.”

Katika historia ya WWE, Undertaker anatajwa kuwa mchezaji aliyetumikia mchezo huo kwa miongo mitatu mfululizo kuliko mchezaji mwingine yeyote.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!