Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50

Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Bara
Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, endapo kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 20200, kitaweka usawa wa kijinsia wa 50 kwa 50 kwenye uongozi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi … (endelea).

Hayo yamesemwa leo Jumatano tarehe 2 Septemba 2020 na Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo kwenye mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Bernard Membe kwenye viwanja vya Bustani ya Mkapa Kilwa Masoko.

Doroth amesema, chama hicho ndio chama pekee kitakachotekeleza sera ya 50 kwa 50 kwenye nafasi za uongozi kati ya wanaume na wanawake.

“Miaka mitano imekuwa michungu kwa wanawake wa Tanzania, ACT-Wazalendo itampa mwaname wa kitanzania heshima na kwamba  ACT-Wazalendo, tunasema 50 kwa 50 wanawake na kwamba wanawake wanaweza,” amesema Doroth.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!