Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50
Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waja 50 kwa 50

Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Bara
Spread the love

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, endapo kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 20200, kitaweka usawa wa kijinsia wa 50 kwa 50 kwenye uongozi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi … (endelea).

Hayo yamesemwa leo Jumatano tarehe 2 Septemba 2020 na Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo kwenye mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Bernard Membe kwenye viwanja vya Bustani ya Mkapa Kilwa Masoko.

Doroth amesema, chama hicho ndio chama pekee kitakachotekeleza sera ya 50 kwa 50 kwenye nafasi za uongozi kati ya wanaume na wanawake.

“Miaka mitano imekuwa michungu kwa wanawake wa Tanzania, ACT-Wazalendo itampa mwaname wa kitanzania heshima na kwamba  ACT-Wazalendo, tunasema 50 kwa 50 wanawake na kwamba wanawake wanaweza,” amesema Doroth.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!