Sunday , 12 May 2024
Home Kitengo Michezo Ihefu kuanza na Simba Ligi Kuu, Yanga na Tanzania Prisons
Michezo

Ihefu kuanza na Simba Ligi Kuu, Yanga na Tanzania Prisons

Spread the love

BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2020/21, imetangaza ratiba ya mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo inayoshirikisha timu 18. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Pazia la ligi hiyo litafunguliwa tarehe 6 Septemba, 2020 kwa michezo sita kupigwa katika viwanja tofauti, huku mechi tatu zitapigwa tarehe 7.

Mabingwa wa watetezi wa ligi hiyo, Simba wao wataanzia ugenini kuumana na wageni wa VPL, timu ya Ihefu inayotumia dimba la Sokoine jijini Mbeya kama uwanja wake wa nyumbani.

Timu ya Yanga yenyewe itaanzia nyumbani, ikiikaribisha timu ya Tanzania Prison, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Anza wikendi yako na Meridianbet, upige mkwanja wa maana

Spread the love Siku ya leo ni nzuri sana kwa wewe mtumiaji...

Habari MchanganyikoMichezo

Arafat atoka bima na kurejea kwenye benki

Spread the loveRais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amemteua Arafat Ally Haji kuwa...

Michezo

Unakosaje pesa ukiwa na Meridianbet leo

Spread the love Alhamisi ndio hii sasa mteja wa meridianbet ambapo leo...

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

error: Content is protected !!