Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Michezo Ihefu kuanza na Simba Ligi Kuu, Yanga na Tanzania Prisons
Michezo

Ihefu kuanza na Simba Ligi Kuu, Yanga na Tanzania Prisons

Spread the love

BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2020/21, imetangaza ratiba ya mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo inayoshirikisha timu 18. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Pazia la ligi hiyo litafunguliwa tarehe 6 Septemba, 2020 kwa michezo sita kupigwa katika viwanja tofauti, huku mechi tatu zitapigwa tarehe 7.

Mabingwa wa watetezi wa ligi hiyo, Simba wao wataanzia ugenini kuumana na wageni wa VPL, timu ya Ihefu inayotumia dimba la Sokoine jijini Mbeya kama uwanja wake wa nyumbani.

Timu ya Yanga yenyewe itaanzia nyumbani, ikiikaribisha timu ya Tanzania Prison, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Jumamosi ya leo ni ya pesa tu kutoka Meridianbet

Spread the love  IKIWA leo hii ni Jumamosi nyingine na tulivu kabisa,...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!