Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Corona dunia yafikia milioni 21, waliopona 773,122
Kimataifa

Corona dunia yafikia milioni 21, waliopona 773,122

Spread the love

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 21.8, waliopona milioni 14.5 huku waliofariki dunia kutokana na ugonjwa huo wakiwa 773,122. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Mtandao wa worldometer leo Jumatatu tarehe 17 Agosti 2020 unaonyesha, Marekani inaongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 5.5, waliofariki 173,128 na waliopona milioni 2.9.

Brazili ni taifa la pili dunia likiwa na maambukizo milioni 3, waliopona milioni 2.4 na waliofariki dunia 107,879.

China ambako COVID-19 ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ni taifa la 33 duniani ikiwa na maambukizo 84,849 kati ya hao, waliopona ni 79,603 na waliofariki dunia wakiwa 4,634.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Faye amteua aliyekuwa mfungwa mwenzie kuwa waziri mkuu

Spread the loveRais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko...

error: Content is protected !!