Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar
Habari za SiasaTangulizi

CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar

Dk. Hussein Mwinyi, Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
Spread the love

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu yatakayopigiwa kura na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ili kumpata mgombea mmoja wa Urais wa Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Majina hayo ni;
1. Dk. Khalid Salum Muhamed
2. Dk. Hussein Mwinyi
3. Shamsi Vuai Nahodha

Shamsi Vuai Nahodha
Dk. Khalid Salum Muhamed

Awali, majina matano yalipokelewa na kikao cha Kamati Kuu na kujadiliwa na kupatikana matatu;

1. Dk. Hussein Mwinyi
2. Profesa Makama Mbarawa
3. Shamsi Vuai Nahodha
4. Dk. Khalid Salum Muhamed
5. Khamis Mussa Omar

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online kwa habari zaidi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!