Saturday , 11 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Shule zote Tanzania kufunguliwa Juni 29
Habari za SiasaTangulizi

Shule zote Tanzania kufunguliwa Juni 29

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameagiza shule zote nchini humo zifunguliwe tarehe 29 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea),

Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020 wakati akihutubia Bunge jijini Dodoma.

Amesema, hali ya maambukizi ya ugonjwa wa vurusi vya corona (Covid-19) yamepungua.

Pia, Rais Magufuli ameagiza shunguli zingine nazo zirejee, “maisha ni lazima yarudi kama yalivyokuwa zamani.”

Shule hizo zilifungwa tangu tarehe 17 Machi 2020 ili kuepuka maambukizo ya corona.

Jana Jumatatu tarehe 15 Juni 2020, Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa alihitimisha mkutano wa 19 wa Bunge hilo la 11, alisema maambukizi hayo yamepunguza na wagonjwa waliopo ni 66 pekee.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Spread the loveBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina awavaa mawaziri wanaompelekea majungu Rais Samia

Spread the loveMBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amewataka baadhi ya mawaziri...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, Wizara ya Katiba wajadili uanzishaji haki binadamu katika biashara

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya...

error: Content is protected !!