Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge Bwege atangaza kutimkia ACT-Wazalendo
Habari za Siasa

Mbunge Bwege atangaza kutimkia ACT-Wazalendo

Suleiman Bungara 'Bwege', aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF)
Spread the love

SELEMAN Bungara maarufu ‘Bwege,’ Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) amesema, kuanzia kesho Jumanne Juni 16 2020 baada ya Bunge kuhitimishwa, atajiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).

Bwege ameweka wazi dhamira hiyo leo Jumatatu tarehe 15 Juni 2020, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Amesema, amefanya uamuzi huo kutokana na kuona Chama cha Wananchi (CUF) hakina, muafaka  kwenye siasa za mabailiko.

Bwege amesema, haiendi ACT-Wazalendo kwa kumfuata Maalim Seif Sharif Hamad amekwenda kwa kuwa chama hicho ni kipya, “kambare mkunje angali mbichi” ACT tunaweza kuikunja.”

Maalim Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, alitimkia ACT-Wazalendo baadhi ya viongozi na wanachama baada ya kutokea kwa mgogoro wa uongozi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!