Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam
Habari za Siasa

Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Spread the love

Wabunge wa Chadema na Viongozi Mbalimbali wachama Pamoja na Wanachama waliyojitokeza Kumsindikiza FreemanMbowe, wakitoka Airport Baada ya Mbowe Kuingizwa Kwenye Ndege, ikiwa Ni Safari ya Kuelekea Dar Es Salaam, Kwa ajili ya Matibabu.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipandiswa kwenye Ambulance kwa ajili ya kuelekea Airport kwenda Dar Es Salaam kwa Matibabu Zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!