Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam
Habari za Siasa

Picha: Freeman Mbowe akisafirishwa kuelekea Dar es Salam

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Spread the love

Wabunge wa Chadema na Viongozi Mbalimbali wachama Pamoja na Wanachama waliyojitokeza Kumsindikiza FreemanMbowe, wakitoka Airport Baada ya Mbowe Kuingizwa Kwenye Ndege, ikiwa Ni Safari ya Kuelekea Dar Es Salaam, Kwa ajili ya Matibabu.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwapungia Mkono Wabunge, Viongozi na Wanachama walitokeza kumuaga Uwanja wa Ndege Dodoma.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipandiswa kwenye Ambulance kwa ajili ya kuelekea Airport kwenda Dar Es Salaam kwa Matibabu Zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

error: Content is protected !!