Wednesday , 8 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mch. Getrude Lwakatare afariki dunia
Habari MchanganyikoTangulizi

Mch. Getrude Lwakatare afariki dunia

Mch. Getrude Lwakatare
Spread the love

MCHUNGAJI wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God), amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 20 Aprili 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imethibitishwa na miongoni mwa Askofu wa Kanisa hilo, Joachim Kimanza.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa familia yake, Mama Rwakatale alikuwa anasumbuliwa na presha.

Hadi umauti unamfika, Mama Rwakatale alikuwa mbunge viti maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE kwa taarifa zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

error: Content is protected !!