Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Meya Jacob kumng’oa Kubenea Ubungo?
Habari za SiasaTangulizi

Meya Jacob kumng’oa Kubenea Ubungo?

Spread the love

KAULI ya Boniface Jacob, Diwani wa Kata ya Ubungo (Chadema) na Meya wa Manispaa ya Ubungo, kwamba hatogombea tena udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, inaleta taswira mpya. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Slaam…(endelea).

Kupitia ukurasa wake wa twitter leo tarehe 6 Aprili 2020, Jacob ameandika “Nimetangaza kung’atuka katika udiwani Kata ya Ubungo, muda wa madiwani utakapoisha. Sitogombea tena udiwani uchaguzi ujao..!

“Miaka 10 utumishi wangu ni kwa sababu wana-Ubungo mlinikopesha imani. Tumekuwa wote wakati wa shida na raha, mabonde na milima.”

Kwenye ujumbe wake huo, Jacob hajasema atagombea nafasi gani, lakini amekieleza chombo kimoja cha habari, kwamba anasubiri iwapo chama chake kitampa ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo. Jimbo hilo kwa sasa linaongozwa na Saed Kubenea (Chadema).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!