Thursday , 2 May 2024
Habari za Siasa

JPM: Hakuna vya bure

Spread the love

RAIS John Magufuli amesema, hakuna vya bure, na kwamba ili upate fedha, lazima ufanye kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kiongozi huyo wa nchini, ametoa kauli hiyo leo tarehe 27 Novemba 2019 akiwa ziarani katika Wilaya ya Igunga, Tabora.

“Hakuna vya bure” amesema Rais Mgufuli na kuongeza “vya bure vimekwisha.” Ametoa kauli hiyo huku akisema, wapo watu wanaolima pamba na mpunga na kupata fedha hivyo “kwa nini nawe usilime viazi ukapata pesa?” amehoji

Akizungumza na wananchi wa wilaya hiyo, amesisitiza kwamba serikali inafanya kazi ya kukusanya fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi ikwemo kujenga madaraka, vituo vya afya na sio kulisha wananchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari za Siasa

Wizara ya Kilimo yapanga kutumia Sh. 1.2 trilioni 2024/25

Spread the loveWIZARA ya Kilimo, imepanga kutumia bajeti ya Sh. 1.2 trilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

error: Content is protected !!