Wednesday , 8 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Moto wateketeza jengo Coco Beach
Habari Mchanganyiko

Moto wateketeza jengo Coco Beach

Spread the love

JENGO moja katika fukwe ya Coco Beach, limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 22 Septemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Jenipher Shirima, Kamanda wa Zimamoto Kinondoni amesema, chanzo cha moto huo bado hakijajukikana.

Shirima ameeleza kuwa, wamepokea taarifa ya moto huo majira ya saa 7.54 mchana, ambapo Jeshi la Zimamoto lilifanikiwa kuudhibiti moto huo.

Hata hivyo, Shirima amesema gari moja la zimamoto limepata ajali njiani likielekea kuzima moto huo.

“Majira ya saa 7.54 tulipokea litokea taarifa ya moto uliowaka kwenye baa maeneo ya Coco Beach, gari yetu ya kwanza iliondoka haraka kwa ajili ya kufika eneo la tukio na walipokea taarifa kwamba moto ni mkubwa inabidi tuongeze nguvu na kwa bahati mbaya wakati gari ya pili inaelekea maeneo hayo ikaanguka,” amesema Shirima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia: Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

error: Content is protected !!