Monday , 11 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Moto wateketeza jengo Coco Beach
Habari Mchanganyiko

Moto wateketeza jengo Coco Beach

Spread the love

JENGO moja katika fukwe ya Coco Beach, limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 22 Septemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Jenipher Shirima, Kamanda wa Zimamoto Kinondoni amesema, chanzo cha moto huo bado hakijajukikana.

Shirima ameeleza kuwa, wamepokea taarifa ya moto huo majira ya saa 7.54 mchana, ambapo Jeshi la Zimamoto lilifanikiwa kuudhibiti moto huo.

Hata hivyo, Shirima amesema gari moja la zimamoto limepata ajali njiani likielekea kuzima moto huo.

“Majira ya saa 7.54 tulipokea litokea taarifa ya moto uliowaka kwenye baa maeneo ya Coco Beach, gari yetu ya kwanza iliondoka haraka kwa ajili ya kufika eneo la tukio na walipokea taarifa kwamba moto ni mkubwa inabidi tuongeze nguvu na kwa bahati mbaya wakati gari ya pili inaelekea maeneo hayo ikaanguka,” amesema Shirima.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NBC yatoa msaada wa mil. 20 kwa waathirika mafuriko Hanang

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) sambamba na wafanyakazi wa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wadaka mirungi kwenye basi la Extra Luxury

Spread the loveJeshi la polisi mkoani Kilimanjaro limekamata shehena ya dawa za...

Habari Mchanganyiko

Oryx yaungana na jamii kuwafariji waathirika maporomoko Hanang

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeungana na Watanzania kutoa pole...

Habari Mchanganyiko

Amsons Group watoa milioni 100 waathirika maafa Hanang

Spread the loveKAMPUNI ya Amsons Group kupitia kampuni zake za Camel Oil...

error: Content is protected !!