Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni
Habari Mchanganyiko

Mmoja afariki dunia, nane waokolewa baada ya kufunikwa machimboni

Spread the love

MTU mmoja amefariki duniani wakati nane wakinusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya madini wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Tukio hilo limetokea asubuhi ya leo tarehe 10 Septemba 2019, ambapo watu 10 walikumbwa na mkasa huo na mmoja kupoteza maisha.

Kamanda Jumanne Murilo, kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza amethibitisha tukio hilo akisema kwamba juhudi za kumuokoa mtu mmoja aliyebaki zinaendelea.

“Tukio hilo limetokea kweli, mtu mmoja amepoteza maisha, nane wameokolewa, juhudi zinaendelea za kumuokoa mmoja aliyebaki katika machimbo hayo,” amesema Kamanda Murilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Makonda autaka mgodi kubadilisha maisha ya wana-Geita

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Je, miji ya Uingereza inafilisika?

Spread the loveMNAMO 1890, mwandishi mmoja wa habari Mmarekani aitwaye Julian Ralph...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Equity Bank yaendelea kusotea mabilioni ya fedha mahakama rufani

Spread the loveBENKI za Equity ya Tanzania na Kenya, zimeendelea kupambana mahakamani...

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

error: Content is protected !!