Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu
Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu

Spread the love

MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam leo tarehe 9 Septemba 2019, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, likiwemo ombi namba 3 la kutaka kuzuia kuapishwa kwa aliyekuwa Mbunge Mteule wa jimbo hilo kupitia CCM, Miraji Mtaturu. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Jaji Sirilius Matupa wa mahakama hiyo amesema, kama angeruhusu kesi hiyo ifunguliwe, mwishowe jimbo la Singida Mashariki lingekuwa na wabunge wawili yaani Lissu wa Chadema na Miraji wa CCM, hivyo kuvunja Katiba ya nchi.

Hata hivyo, Jaji Matupa amemtaka Lissu kubadilisha aina ya maombi yake na kufungua kesi mpya.

Ufafanuzi zaidi wa uamuzi huo unakujia…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko aipongeza GGML kudhibiti vifo, majeruhi mahali pa kazi

Spread the loveNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za Siasa

Askofu Shoo awataka ACT kupigania maslahi ya Taifa, wasikubali kuhongwa

Spread the loveALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Askofu...

Habari za Siasa

Biteko aagiza waajiri kudhibiti vifo mahali pa kazi

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

error: Content is protected !!