Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya
Habari Mchanganyiko

Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya

Spread the love

AKOS Berger, Raia wa Hungary amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kuhujumu uchumi na kukutwa dawa za kulevya. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mbele ya Hakimu Mkazi, Maira Kasonde, Groria Mwenda Wakili wa Serikali amemsomea mashtaka moja Berger ya uhujumu uchumi na kukutwa na dawa za kulevya.

Wakili Mwenda amedai kuwa tarehe 19 Julai Mwaka huu akiwa eneo la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alikuwa akisafirisha dawa za kulevya kilogramu 250 aina ya Psychotropic.

Mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote kutokana na kushitakiwa kwa hati ya uhujumu uchumi.

Mshitakiwa amerejeshwa mahabusu mpaka tarehe 9 Agosti Mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!