Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya
Habari Mchanganyiko

Raia wa Hungary kortini kwa dawa za kulevya

Spread the love

AKOS Berger, Raia wa Hungary amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kuhujumu uchumi na kukutwa dawa za kulevya. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mbele ya Hakimu Mkazi, Maira Kasonde, Groria Mwenda Wakili wa Serikali amemsomea mashtaka moja Berger ya uhujumu uchumi na kukutwa na dawa za kulevya.

Wakili Mwenda amedai kuwa tarehe 19 Julai Mwaka huu akiwa eneo la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alikuwa akisafirisha dawa za kulevya kilogramu 250 aina ya Psychotropic.

Mshitakiwa huyo hakutakiwa kujibu chochote kutokana na kushitakiwa kwa hati ya uhujumu uchumi.

Mshitakiwa amerejeshwa mahabusu mpaka tarehe 9 Agosti Mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!