Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Rais Mkapa ateuliwa tena kuwa Mkuu wa UDOM
Elimu

Rais Mkapa ateuliwa tena kuwa Mkuu wa UDOM

Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). 

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 14 Mei 2019 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa.

Taarifa ya Msigwa inaeleza kuwa, Rais Magufuli amemtea Mkapa kushika wadhifa huo kwa kipindi cha pili mfululizo.

Aidha, Rais Magufuli amemteua Profesa Ignas Rubaratuka kushika wadhifa wa Uwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) kwa kipindi cha pili mfululizo.

“Uteuzi wa viongozi ho umeanza tarehe 10 Mei 2019,” inaeleza sehemu ya taarifa ya Msigwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Serikali kuongeza wanufaika mikopo ya elimu ya juu

Spread the loveSERIKALI imesema itaongeza idadi ya wanufaika wa mikopo ya elimu...

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

error: Content is protected !!