Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi NHC
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ateua Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi NHC

Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) Dkt. Sophia Kongela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 30 Oktoba 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

Katika hatua nyingine, taarifa hiyo inaeleza kuwa, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi amemteua aliyekuwa Mhadhiri wa ARU, Dkt. Maulid Banyani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa.

“Uteuzi wa viongozi hao umeanza leo tarehe 30 Oktoba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walimu 5000 Songwe waililia CWT kuwanyima sare

Spread the loveZaidi ya walimu 5000 ambao ni wanachama wa Chama cha...

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

error: Content is protected !!