Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi Mbeya wamsaka dereva wa lori
Habari Mchanganyiko

Polisi Mbeya wamsaka dereva wa lori

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei
Spread the love

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamsaka dereva wa lori la mafuta linalomilikiwa na Kampuni ya Mafuta ya Oil Com, baada ya lori hilo kukutwa limebeba vipodozi vilivyopigwa marufuku kuingia nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hatua hiyo ya Jeshi la Polisi Mbeya imekuja baada ya kukamata lori hilo maneneo ya Mbarali jijini Mbeya, likiwa limebeba katoni mbili za pome kali pamoja na katoni 15 za vipodozi.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo tarehe 9 Oktoba 2018, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei, ameeleza kuwa lori hilo limekamatwa jana majira ya saa nane mchana likitokea nchini Zambia.

“Lori hilo lenye namba za usajili T 233 CXL limekamatwa na polisi eneo la Mbarali jijini hapa, jana saa nane mchana, likitokea nchini Zambia,” amesema Kamanda Matei.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!