Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi
Habari za Siasa

Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi

Spread the love

RAIS John Magufuli leo tarehe 4 Oktoba 2018 amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watano watakaowakilisha nchi zao hapa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa mchana wa leo, inaeleza kuwa, hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imewataja mabalozi hao akiwemo, Balozi mteule wa Ubelgiji hapa nchini Peter Van Acker, Balozi mteule wa Norway Elisabeth Jacobsen, na Balozi mteule wa Sweden hapa nchini Anders Sjoberg.

Wengine ni Balozi mteule wa Palestina hapa nchini Hamdi Abuali na Balozi wa Kuwait Mubarak Mohammad Alsehaijan.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!