Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi
Habari za Siasa

Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi

Spread the love

RAIS John Magufuli leo tarehe 4 Oktoba 2018 amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watano watakaowakilisha nchi zao hapa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa mchana wa leo, inaeleza kuwa, hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imewataja mabalozi hao akiwemo, Balozi mteule wa Ubelgiji hapa nchini Peter Van Acker, Balozi mteule wa Norway Elisabeth Jacobsen, na Balozi mteule wa Sweden hapa nchini Anders Sjoberg.

Wengine ni Balozi mteule wa Palestina hapa nchini Hamdi Abuali na Balozi wa Kuwait Mubarak Mohammad Alsehaijan.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!