Wednesday , 8 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria
Habari MchanganyikoTangulizi

Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria

Spread the love

KIVUKO cha MV. Nyerere kinachotoa huduma kati ya Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza kimezama mchana wa leo tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa kwa vyombo vya habari na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).

Akizungumzia kuhusu tukuio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shana amesema baadhi ya wau waliokuwamo katika kivuko hicho kilichokuwa kinatoka Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara, wameanza kuokolewa.

Kamanda Shana amesema shughuli za uokoaji wahanga zinaendelea kutekelezwa na Kamati ya Ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC, SILABU waungana kufikisha elimu ya fedha majumbani

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

error: Content is protected !!