Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria
Habari MchanganyikoTangulizi

Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria

Spread the love

KIVUKO cha MV. Nyerere kinachotoa huduma kati ya Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza kimezama mchana wa leo tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa kwa vyombo vya habari na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).

Akizungumzia kuhusu tukuio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shana amesema baadhi ya wau waliokuwamo katika kivuko hicho kilichokuwa kinatoka Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara, wameanza kuokolewa.

Kamanda Shana amesema shughuli za uokoaji wahanga zinaendelea kutekelezwa na Kamati ya Ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!