Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli afanya uteuzi mpya NSSF
Habari za Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi mpya NSSF

Spread the love

RAIS John Magufuli amemteua Balozi Mstaafu, Ali Idi Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF). Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo tarehe 20 Septemba 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amemteua Balozi Mstaafu Ali Idi Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, uteuzi wa Balozi Siwa unaanza leo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!