Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Mahakama Kuu yamtoa gerezani Lulu
MichezoTangulizi

Mahakama Kuu yamtoa gerezani Lulu

Elizabeth Michael 'Lulu'
Spread the love

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imembadilishia kifungo Msanii wa Filamu, Elizabeth Micheal ‘Lulu’ kutoka kwenye kifungo cha Magereza na kutumikia kifungo cha nje. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Lulu aliachiwa Mei 12 mwaka huu majira ya saa 2:30 asubuhi na kuanza kutumikia adhabu hiyo akiwa nje ya gereza.

Novemba 13 mwaka 2017 Lulu alihukumiwa kwenda jela miaka miwili baada ya kukutwa na hatia ya kumuua msanii mwenzake, Steven Kanumba bila kukusudia.

Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Sam Rumanyika baada ya kusikiliza ushahidi wa utetezi na ule wa Jamhuri.

Jeshi la Magereza limethibitisha kupokea amri ya mabadiliko adhabu ya msanii huyo ambapo atatolewa kutoka magereza na ataanza utaratibu wa adhabu ya kifungo cha nje.

Ofisa Habari wa Jeshi la Magereza, Lucas Mboje amesema Lulu amebadilishiwa adhabu na atatumikia kifungo cha nje kwa amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!