Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesi ya Lema yafutwa, akamatwa tena
Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Lema yafutwa, akamatwa tena

Spread the love

JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi kuota. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili Lema kutokana na ndoto alizoota miaka miwili iliyopita, ilifutwa lakini muda mchache baadaye polisi walimkamata tena na kumfungulia kesi upya kwa mashtaka yale yale.

Kesi hii ni mwendelezo wa kesi iliyokua ikimkabili Lema na ambayo ilimsotesha mahabusu (Magereza) kwa zaidi ya miezi mnne mwaka juzi kabla ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwaka jana.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!