Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Askofu afanya maombi ya kuleta mvua
Habari Mchanganyiko

Askofu afanya maombi ya kuleta mvua

Mwenyekiti  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi
Spread the love

MWENYEKITI  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi  amefanya maombi maalum kwa ajili ya kuliombea taifa ili kuondokana hali ya ukame ulioanza  kuyakumba baadhi ya maeneo hapa nchini, anaandika Faki Sosi.

Askofu Gadi amefanya maombi hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuguswa na uatabiri wa hali ya hewa uliotolewa na Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa (TMA).

Ameeleza kuwa miaka yote wamekuwa wakifanya vizuri katika kuomba na kwamba maombi ya leo  yataleta majibu kwa muda wa masaa 24.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!