Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Askofu afanya maombi ya kuleta mvua
Habari Mchanganyiko

Askofu afanya maombi ya kuleta mvua

Mwenyekiti  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi
Spread the love

MWENYEKITI  wa  Good News For all Ministry  Askofu Dk Charles  Gadi  amefanya maombi maalum kwa ajili ya kuliombea taifa ili kuondokana hali ya ukame ulioanza  kuyakumba baadhi ya maeneo hapa nchini, anaandika Faki Sosi.

Askofu Gadi amefanya maombi hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya kuguswa na uatabiri wa hali ya hewa uliotolewa na Mamlaka ya Utabiri wa Hali ya Hewa (TMA).

Ameeleza kuwa miaka yote wamekuwa wakifanya vizuri katika kuomba na kwamba maombi ya leo  yataleta majibu kwa muda wa masaa 24.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

error: Content is protected !!