Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara
Habari za Siasa

Watumishi ofisi ya Magufuli wapigwa mkwara

Kaimu Mkurugenzi wa Maadili Utumishi, Lambart Chialo
Spread the love

OFISI ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR_MUU) imeshutumu wafanyakazi katika yake kwa kukwamisha malengo ya serikali kuhusu  maadili ya watumishi kwa kuwa watoro kazin pamoja na kutumia vibaya taarifa mbalimbali za serikali , anaandika Jovina Patrick.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa Maadili Utumishi, Lambart Chialo amesema misingi mikubwa ya maadili ya Utumishi wa Umma ni mingi na kwamba lazima mambo kadhaa yazingatiwe wakati wa kuyatekeleza.

Misingi hiyo ni pamoja na utaalamu, uaminifu na uwajibikaji  na kwamba changamoto kubwa zinazojitokeza katika ukuzaji wa maadili ni pamoja na utoro kazini, kutumia vibaya taarifa za serikali yaani kutoa taarifa hizo hata kwa wasiohusika nazo, matumizi mabaya ya ofisi kwa kutumia rasilimali za ofisi kwa manufaa binafsi na pia kuvaa mavazi mabaya yasiyo na maadili ya kiofisi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!