Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda
Habari Mchanganyiko

IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda

Spread the love

Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu  kamanda Simon Sirro, mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwa jeshi lake linawafahamu  watu ambao inadai hawajulikani, anaandika Hellen Sisya.

Kigaila ameyasema hayo leo hii katika mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.

Aidha, amesema jeshi la polisi linatakiwa kuanza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ambaye anadaiwa kuvamia kituo cha Clouds akiwa ameambatana na vijana wenye silaha.

Kigaila amehoji kitendo cha jeshi hilo kutaka kupelekewa taarifa rasmi ili liweze kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la shambulio la risasi dhidi ya Tundu Lissu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

error: Content is protected !!