Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda
Habari Mchanganyiko

IGP  Sirro aambiwa aanze na Makonda

Spread the love

Benson Kigaila, Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtuhumu  kamanda Simon Sirro, mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwa jeshi lake linawafahamu  watu ambao inadai hawajulikani, anaandika Hellen Sisya.

Kigaila ameyasema hayo leo hii katika mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.

Aidha, amesema jeshi la polisi linatakiwa kuanza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ambaye anadaiwa kuvamia kituo cha Clouds akiwa ameambatana na vijana wenye silaha.

Kigaila amehoji kitendo cha jeshi hilo kutaka kupelekewa taarifa rasmi ili liweze kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la shambulio la risasi dhidi ya Tundu Lissu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!