Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu
Elimu

Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu

Spread the love

MPANGO wa “Shule Direct” yenye kauli mbiu “jifunze mahali popote, wakati wote” inayomwezesha mwanafunzi kutumia simu ya mkononi au kompyuta kujifunza imetajwa kuchochea kiwango cha wanafunzi kuongeza uelewa wa masomo, anaandika Pendo Omary.

Mwaka 2013 ulianzishwa mpango ambao unalenga kuwahudumia wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha nne wa shule za sekondari.

Iku Lazaro, Ofisa habari wa Direct Shule akizungumza wakati wa warsha ya kushirikishana uzoefu na mikakati ya elimu mbadala kwa wasichana, amesema mfumo huu unamuwezesha pia mwanafunzi kutunga maswali.”

“Kupitia program hii mwanafunzi anaweza kupata masomo 11-. anaweza kuuliza maswali na kuna jopo la walimu watakaomsaidia majibu. tayari kupitia program hii wanafunzi milioni moja wamefikiwa, walimu 15397 wanatumia mtandao huu kuelekeza wanafunzi,” amesema Lazaro

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Serikali kuongeza wanufaika mikopo ya elimu ya juu

Spread the loveSERIKALI imesema itaongeza idadi ya wanufaika wa mikopo ya elimu...

ElimuHabari za Siasa

Serikali kufumua mitaala ya vyuo vikuu, ufundi stadi

Spread the loveSERIKALI inakusudia kufanya mapitio katika mitaala na programu za vyuo...

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

error: Content is protected !!