Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu
Elimu

Shule ‘Direct’ yakomboa wanafunzi na walimu

Spread the love

MPANGO wa “Shule Direct” yenye kauli mbiu “jifunze mahali popote, wakati wote” inayomwezesha mwanafunzi kutumia simu ya mkononi au kompyuta kujifunza imetajwa kuchochea kiwango cha wanafunzi kuongeza uelewa wa masomo, anaandika Pendo Omary.

Mwaka 2013 ulianzishwa mpango ambao unalenga kuwahudumia wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha nne wa shule za sekondari.

Iku Lazaro, Ofisa habari wa Direct Shule akizungumza wakati wa warsha ya kushirikishana uzoefu na mikakati ya elimu mbadala kwa wasichana, amesema mfumo huu unamuwezesha pia mwanafunzi kutunga maswali.”

“Kupitia program hii mwanafunzi anaweza kupata masomo 11-. anaweza kuuliza maswali na kuna jopo la walimu watakaomsaidia majibu. tayari kupitia program hii wanafunzi milioni moja wamefikiwa, walimu 15397 wanatumia mtandao huu kuelekeza wanafunzi,” amesema Lazaro

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

error: Content is protected !!