Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Asilimia 75 makazi Dar ni holela
Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 makazi Dar ni holela

William Lukuvi, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Spread the love

SERIKALI imesema asilimia 75 ya wananchi jijini Dar es Salaam wamejenga katika maeneo holela ambayo hajapimwa, anaandika Mwandishi wetu.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na kwamba zoezi la upimaji ardhi litafanyika nchi nzima.

Amesema hadi kufikia mwaka 2020 wawe wamemaliza zoezi la kurasimisha ardhi kwa wananchi na kuwapatia hati.

Lukuvi amesema kilaa kipande cha ardhi kitapimwa na kwamba hakuna mtu atakayemiliki sehemu ambayo haijapimwa.

Waziri huyo alikuwa akizungumza katika kituo cha Luninga cha Azam na amesema wameanza kupima katika mkoa wa Morogoro.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa aanika mafanikio ya TMA

Spread the loveSHUGHULI za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), zimeimarika...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!