Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Uhamiaji yajiandaa kutoa elimu kwa jamii
Habari Mchanganyiko

Uhamiaji yajiandaa kutoa elimu kwa jamii

Mji wa Dodoma
Spread the love

IDARA ya uhamiaji mkoa wa Dodoma imeandaa mpango maalum wa kuwafikia wananchi kuanzia ngazi ya kitongoji hadi wilaya kwa lengo la kutoa elimu ya utambuzi wa wahamiaji haramu, anaanadika Dany Tibason.

Aidha, kutokana na Dodoma kuwa makao makuu ya nchi wameanza kuimarisha ulinzi na msako kwa ajili ya kufichua watu ambao wanaingia nchi kinyume cha sheria.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dodoma, Peter Kundy, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kumalizika kwa mazoezi ya viungo yaliyofanyika katika uwanja wa mpira wa Jamhuri mjini hapa.

Kundy amesema kwa kuwa Dodoma ni makao makuu ya nchi zipo changamoto nyingi za watu wengine kutoka nje ya nchi kwa lengo la kutaka kutumia fursa za kujipatia kipato.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!