Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu afunguka Bombardier ilivyokamatwa
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afunguka Bombardier ilivyokamatwa

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amelitaka Bunge kumshitaki Rais Magufuli kwa kusababisha hasara kubwa wakati akiwa waziri, anaandika Hamisi Mguta.

Lissu amesema kuwa Rais Magufuli amefanya mambo mengi bila kufuata sheria ambayo kwa sasa madhara yake ndio yanaanza kuonekana ikiwemo kukamatwa kwa ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 nchini Canada kwa kilichoelezwa kuwa ni kutokana na deni.

FUATILIA VIDEO HAPA CHINI TUNDU LISSU ALIVYOELEZWA NAMNA NDEGE HIYO ILIVYOKAMATWA NA SABABU ZA KUKAMATWA KWA NDEGE HIYO.

https://www.youtube.com/watch?v=mZuh-5m6HMY

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!